Over 10 mio. titler Fri fragt ved køb over 499,- Hurtig levering 30 dages retur

Masomo YA Wakristadelfia Kwa Njia YA Posta

Bog
  • Format
  • Bog, paperback
  • 248 sider

Beskrivelse

Masomo haya ya Biblia kwa njia ya Posta, ambayo hapa yamechapishwa kuwa kitabu, yalianza yakiwa ni Kozi ya Masomo 40 ya Msingi ya Biblia, ya Jumuia ya Wakristadelfia duniani. Yakiwa yameandikwa mwanzoni kwa lugha ya Kingereza, yaliandaliwa ili yatoe ufahamu wa kutosha wa Maandiko kwa mtu, kabla hajataka kubatizwa. Baada ya kutumiwa kwa karibu miaka 25 katika Tanzania, imeonekana hayakutosha hasa katika kumwandaa muumini kwa ajili ya maisha mapya katika Kristo, katika upweke uliopo Afrika Mashariki, kwa hiyo masomo mengine 20 yaliongezwa kuwa 60. Jitihada ilifanyika ya kuyatafsiri masomo hayo 40 ya awali katika Kiswahili, lakini kutokana na tofauti za kiutamaduni kwa waliotafsiri, mafanikio hayakuwa makubwa. Tunafikiri, kutokana na uhariri na nyongeza iliyowekwa, chapisho hili litakuwa la manufaa zaidi.

Læs hele beskrivelsen
Detaljer
  • Sidetal248
  • Udgivelsesdato17-11-2010
  • ISBN139781446674710
  • Forlag Lulu.Com
  • FormatPaperback
  • Udgave0
Størrelse og vægt
  • Vægt603 g
  • Dybde1,3 cm
  • coffee cup img
    10 cm
    book img
    21 cm
    29,6 cm

    Findes i disse kategorier...

    Se andre, der handler om...

    Machine Name: SAXO080